Friday, April 10, 2009

Sheikh Yahya yupo fitii!!!!


Mnajimu maarufu na Mtabiri wa nyota Afrika mashariki ,Sheikh Yahaya Hussen akizungumza na waandishi wa habari jana nyumbani kwake jijini Dar mara baada ya kuwasili toka India kwa matibabu ya ugonjwa wa moyo,pichani kulia ni mkewe Ketty (mama mufti junior). Sheikh huyo alizushiwa kufa akiwa katika matibabu India. Picha kwa hisani ya Mzee wa Sumoooo

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...