Friday, April 10, 2009

Sheikh Yahya yupo fitii!!!!


Mnajimu maarufu na Mtabiri wa nyota Afrika mashariki ,Sheikh Yahaya Hussen akizungumza na waandishi wa habari jana nyumbani kwake jijini Dar mara baada ya kuwasili toka India kwa matibabu ya ugonjwa wa moyo,pichani kulia ni mkewe Ketty (mama mufti junior). Sheikh huyo alizushiwa kufa akiwa katika matibabu India. Picha kwa hisani ya Mzee wa Sumoooo

No comments:

KIPANGULA: WAHITIMU WA HABARI WATAFAIDIKA NA MABORESHO YA KANUNI

  Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, amewashauri Waandishi ...