Friday, April 10, 2009

Sheikh Yahya yupo fitii!!!!


Mnajimu maarufu na Mtabiri wa nyota Afrika mashariki ,Sheikh Yahaya Hussen akizungumza na waandishi wa habari jana nyumbani kwake jijini Dar mara baada ya kuwasili toka India kwa matibabu ya ugonjwa wa moyo,pichani kulia ni mkewe Ketty (mama mufti junior). Sheikh huyo alizushiwa kufa akiwa katika matibabu India. Picha kwa hisani ya Mzee wa Sumoooo

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...