Tuesday, April 21, 2009

Sagula sagula Kariakoo



Kila mmoja katika jiji hili la maraha la Dar es salaam yuko bize na jambo lake, wapo wanakula raha kama vile wanaishi jijini New York, lakini wapo wengine wanaishi kama vile wapo Soweto ili mradi ni balaa tupu, hebu cheki hapa wabongo wanasagula sagula Kariakoo huku wengine wakitaabika na bidhaa zao juani.

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...