Wednesday, April 01, 2009

Jimeli lililokwama lapakuliwa




Meli ya MSC Federica ikiwa imkwama kwa siku ya pili baada ya kuingia pembezoni mwa pwani ya Kigamboni. Inadaiwa ilikuwa almanusura kwani inasemekana ilikuwa ibamize soko la kimataifa la Ferry lakini likaponea kwa jitihada za nahodha!!!

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...