Wednesday, April 01, 2009

Jimeli lililokwama lapakuliwa




Meli ya MSC Federica ikiwa imkwama kwa siku ya pili baada ya kuingia pembezoni mwa pwani ya Kigamboni. Inadaiwa ilikuwa almanusura kwani inasemekana ilikuwa ibamize soko la kimataifa la Ferry lakini likaponea kwa jitihada za nahodha!!!

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...