Monday, October 31, 2016

ZIARA YA WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI KATIKA MRADI WA SAFARI CITY ARUSHA

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.William Vangimembe Lukuvi akikagua mojawapo ya nyumba zilizojengwa na NHC katika eneo la Matevez maarufu kama #SafariCity, Kulia kwake ni Meneja wa NHC mkoa wa Arusha, James Kisarika, Waziri Lukuvi alitembelea mradi huo kujua maendeleo ya utekelezaji wa eneo hilo la kitovu cha mji cha #Safaricity.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.William Vangimembe Lukuvi akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoani Arusha. Waziri Lukuvi alitembelea mradi huo kujua maendeleo ya utekelezaji wa eneo hilo la kitovu cha mji cha #Safaricity.

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.William Vangimembe Lukuvi akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa mkoani Arusha. Waziri Lukuvi alitembelea mradi huo kujua maendeleo ya utekelezaji wa eneo hilo la kitovu cha mji cha #Safaricity.

Afisa Mauzo wa Shirika la Nyumba Mkoani Arusha, Gibson Mwaigomole akitoa maelezo kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.William Vangimembe Lukuvi aliyetembelea mradi huo kujua maendeleo ya utekelezaji wa eneo hilo la kitovu cha mji cha #Safaricity.

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.William Vangimembe Lukuvi aliyetembelea mradi huo kujua maendeleo ya utekelezaji wa eneo hilo la kitovu cha mji cha #Safaricity akizungumza jambo na Meneja wa NHC Arusha Kisarika.


 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.William Vangimembe Lukuvi akikagua mojawapo ya nyumba zilizojengwa na NHC katika eneo la Matevez maarufu kama #SafariCity, Kulia kwake ni Meneja wa NHC mkoa wa Arusha, James Kisarika, Waziri Lukuvi alitembelea mradi huo kujua maendeleo ya utekelezaji wa eneo hilo la kitovu cha mji cha #Safaricity.

  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.William Vangimembe Lukuvi aliyetembelea mradi huo kujua maendeleo ya utekelezaji wa eneo hilo la kitovu cha mji cha #Safaricity akizungumza jambo na Meneja wa NHC Arusha Kisarika.
  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.William Vangimembe Lukuvi aliyetembelea mradi huo kujua maendeleo ya utekelezaji wa eneo hilo la kitovu cha mji cha #Safaricity akipata maelezo ya mradi kutoka kwa Meneja wa NHC Arusha Kisarika.

  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.William Vangimembe Lukuvi aliyetembelea mradi huo kujua maendeleo ya utekelezaji wa eneo hilo la kitovu cha mji cha #Safaricity akizungumza jambo na Meneja wa NHC Arusha Kisarika.

 Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.William Vangimembe Lukuvi aliyetembelea mradi huo kujua maendeleo ya utekelezaji wa eneo hilo la kitovu cha mji cha #Safaricity akipata maelezo ya mradi kutoka kwa Meneja wa NHC Arusha Kisarika.


Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh.William Vangimembe Lukuvi akikagua mojawapo ya nyumba zilizojengwa na NHC katika eneo la Matevez maarufu kama #SafariCity, Kulia kwake ni Meneja wa NHC mkoa wa Arusha, James Kisarika, Waziri Lukuvi alitembelea mradi huo kujua maendeleo ya utekelezaji wa eneo hilo la kitovu cha mji cha #Safaricity.

No comments:

RAIS SAMIA AZINDUA TUME YA UCHUNGUZI KWA AJILI YA KUIMARISHA AMANI, HAKI NA UWAJIBIKAJI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Wajumbe wa Tume ya Rais ya Uchunguzi wa Wahusi...