Tuesday, October 04, 2016

SHEREHE YA SIKU YA WATU WA KOREA KUSINI YAFANYIKA JIJINI DAR, WAZIRI MBARAWA AHUDHURIA

 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akizungumza na wageni waliohudhuria Sherehe ya Siku ya Watu wa Korea Kusini iliyoadhimishwa jana jijini Dar es Salaam.
 Wageni waalikwa waliohudhuria Sherehe ya Siku ya Watu wa Korea Kusini wakimsikiliza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa katika hafla hiyo.
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (kulia, na Balozi wa Serikali ya Jamhuri ya Korea Kusini Bw. Song, Geum-young (katikati), wakikata keki kama ishara ya kujenga mahusiano mema baina ya nchi hizo mbili katika Sherehe ya Siku ya  Watu wa Korea Kusini iliyoadhimishwa jana jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akigonga glasi (cheers) na Balozi wa Serikali ya Jamhuri ya Korea Kusini Bw. Song, Geum-young kama ishara ya kujenga mahusiano mema baina ya nchi hizo mbili katika Sherehe ya Siku ya Watu wa  Korea Kusini iliyoadhimishwa jana jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akizungumza na wageni waalikwa katika hafla hiyo.
Picha na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.

No comments:

Tanzania na Rwanda Zaimarisha Ushirikiano kwa Kusaini Hati Mbili za Makubaliano

Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Rwanda umefungwa rasmi ...