Saturday, October 08, 2016

SIMU MPYA YA TEKNO PHANTOM 6PLUS YAZINDULIWA JIJINI DAR LEO


 Meneja Mauzo ya Rejareja wa Tekno, Moses Mtweve akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na ubora wa simu aina mpya ya Tekno Phatom 6Plus.
 Afisa Masoko wa Tekno, Fred Kadilana akitoa ufafanuazi juu ya simu mpya ya Tekno Phatom 6Plus kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa simu hiyo Mpya. 
Afisa mauzo wa Tekno kulia akitoa maelekezo kwa mteja wakati wa uzinduzi wa simu mpya aina ya Tekno Phatom 6Plus jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...