Saturday, October 08, 2016

SIMU MPYA YA TEKNO PHANTOM 6PLUS YAZINDULIWA JIJINI DAR LEO


 Meneja Mauzo ya Rejareja wa Tekno, Moses Mtweve akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusiana na ubora wa simu aina mpya ya Tekno Phatom 6Plus.
 Afisa Masoko wa Tekno, Fred Kadilana akitoa ufafanuazi juu ya simu mpya ya Tekno Phatom 6Plus kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi wa simu hiyo Mpya. 
Afisa mauzo wa Tekno kulia akitoa maelekezo kwa mteja wakati wa uzinduzi wa simu mpya aina ya Tekno Phatom 6Plus jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

Tanzania na Rwanda Zaimarisha Ushirikiano kwa Kusaini Hati Mbili za Makubaliano

Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Rwanda umefungwa rasmi ...