Wednesday, October 05, 2016

MHAGAMA AMTEMBELEA MKE WA BABA WA TAIFA MAMA MARIA NYERERE

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye ulemavu) Jenista Mhagama akifanya mazungumzo na Mke wa baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere alipomtembelea nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam, leo tarehe 5 Oktoba 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

TANZANIA NA ZAMBIA ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA NISHATI KATIKA KUKUZA UCHUMI NA RASILIMALI ZA TAIFA

Katika kuendeleza ajenda ya kimkakati ya kukuza uchumi kupitia rasilimali za taifa, Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana n...