Wednesday, October 05, 2016

MHAGAMA AMTEMBELEA MKE WA BABA WA TAIFA MAMA MARIA NYERERE

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye ulemavu) Jenista Mhagama akifanya mazungumzo na Mke wa baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere alipomtembelea nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam, leo tarehe 5 Oktoba 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...