Monday, October 10, 2016

MAMA JANETH MAGUFULI AHUDHURIA MSIBA WA SHEMEJI YAKE RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE BAGAMOYO


 Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akimpa mkono wa pole Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete kwenye msiba wa shemeji  yake (Rais Mstaafu) marehemu Mariam Saburi  aliyefariki jana na kuzikwa leo huko Bagamoyo leo 


No comments:

NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO

  Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...