Monday, October 17, 2016

EFM 93.7 YAENDELEA KUSAKA VIPAJI VYA SINGELI MKOANI PWANI

 Msaani chipukizi,Mussa  Mkumba a.k.a Dogo Jet akionesha uwezo wake jukwaani katika tamasha la kusaka  vipaji vya waimbaji wa nyimbo za singeli katika viwanja vya Kisemvule mkoani Pwani.
 Msaani chipukizi,Idd Issa a.k.a Mauwezo akionesha uwezo wake jukwaani katika tamasha la kusaka  vipaji vya waimbaji wa nyimbo za singeli katika viwanja vya Kisemvule mkoani Pwani.


Mashabiki wakipagawishwa na wasanii waimbaji wa nyimbo za singeli katika  viwanja vya Kisemvule mkoani Pwani.

Mashabiki wakipagawishwa na wasanii waimbaji wa nyimbo za singeli katika  viwanja vya Kisemvule mkoani Pwani.
Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii

No comments:

Tanzania na Rwanda Zaimarisha Ushirikiano kwa Kusaini Hati Mbili za Makubaliano

Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Rwanda umefungwa rasmi ...