Monday, October 17, 2016

EFM 93.7 YAENDELEA KUSAKA VIPAJI VYA SINGELI MKOANI PWANI

 Msaani chipukizi,Mussa  Mkumba a.k.a Dogo Jet akionesha uwezo wake jukwaani katika tamasha la kusaka  vipaji vya waimbaji wa nyimbo za singeli katika viwanja vya Kisemvule mkoani Pwani.
 Msaani chipukizi,Idd Issa a.k.a Mauwezo akionesha uwezo wake jukwaani katika tamasha la kusaka  vipaji vya waimbaji wa nyimbo za singeli katika viwanja vya Kisemvule mkoani Pwani.


Mashabiki wakipagawishwa na wasanii waimbaji wa nyimbo za singeli katika  viwanja vya Kisemvule mkoani Pwani.

Mashabiki wakipagawishwa na wasanii waimbaji wa nyimbo za singeli katika  viwanja vya Kisemvule mkoani Pwani.
Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii

No comments:

WAZIRI MKUU: SERIKALI YAENDELEA KUHAKIKISHA MAFUTA HAYAADIMIKI NCHINI

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea ...