Saturday, October 08, 2016

RAIS DKT MAGUFULI MGENI RASMI KWENYE SHEREHE ZA MABOHORA KUADHIMISHA MWAKA MPYA WA KIISLAMU 1438 MSIKITI WA BOHORA UPANGA, DAR ES SALAAM, LEO


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia katika tamasha la madhehebu ya Bohora leo Oktoba 08, 2016, ambayo yanafanya maadhimisho ya dunia ya sikukuu ya mwaka mpya wa Kiislam Jijini Dar es Salaam

No comments:

TANZANIA NA ZAMBIA ZAIMARISHA USHIRIKIANO WA NISHATI KATIKA KUKUZA UCHUMI NA RASILIMALI ZA TAIFA

Katika kuendeleza ajenda ya kimkakati ya kukuza uchumi kupitia rasilimali za taifa, Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana n...