Friday, January 10, 2014

IGP Ernest Mangu na Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi (DIGP) Abdulrahman Kaniki Wazungumza na waandishi wa habari Makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam

 

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu  na Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi  (DIGP) Abdulrahman Kaniki (kulia)  akizungumza  na waandishi wa habari  Makao Makuu ya Jeshi la Polisi . IGP Mangu aliwataka wananchi kuendelea kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi ili kuweza kukabiliana na uhalifu na wahalifu. Picha na Hassani Mndeme -Jeshi la Polisi

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...