Friday, January 10, 2014

IGP Ernest Mangu na Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi (DIGP) Abdulrahman Kaniki Wazungumza na waandishi wa habari Makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam

 

 Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu  na Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi  (DIGP) Abdulrahman Kaniki (kulia)  akizungumza  na waandishi wa habari  Makao Makuu ya Jeshi la Polisi . IGP Mangu aliwataka wananchi kuendelea kutoa ushirikiano kwa Jeshi la Polisi ili kuweza kukabiliana na uhalifu na wahalifu. Picha na Hassani Mndeme -Jeshi la Polisi

No comments:

NHC YATOA ELIMU YA HATI PACHA, YASISITIZA UMOJA WA WAMILIKI SAMIA HOUSING SCHEME KAWE

 Samia Housing Scheme Kawe: nyumba 560, familia tofauti zikiunganishwa na mtindo mmoja wa maisha ya  kisasa—ushirikiano, ustaarabu na “moder...