Friday, January 31, 2014

MAKABIDHIANO A ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI

IMG_6612Aliyekuwa Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya makazi Goodluck Ole Medeye(kushoto) akimkabidhi ofisi Naibu Waziri mpya katika Wizara hiyo George Simbachawene (Kulia)leo kufuatia mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete hivi karibuni. Picha/ Clarence Nanyaro/Ardhi GC
IMG_6615

No comments:

NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO

  Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...