Thursday, January 23, 2014

PICHA ZA DARAJA LA DUMILA LILIOHARIBIKA KUTOKANA NA MVUA KUBWA ILIYONYESHA


Daraja la Dumila wilayani Mvomero, Morogoro likiwa limekatika baada ya kunyesha mvua kubwa.
Wasafiri wakiwa eneo hilo la daraja baada ya safari zao kukwama.
Mafuriko yaliyopelekea daraja hilo kuharibiwa na maji.
Hali ilivyokuwa jirani na eneo hilo.
Mvua kubwa iliyonyesha wilayani Mvomero, Morogoro usiku wa kuamkia leo imesababisha madhara makubwa ikiwemo kukatika kwa daraja la Dumila linalounganisha barabara za Morogoro na Dodoma na kusababisha safari za wananchi kukwama.

No comments:

MAMA NEEMA MWIGULU AHIMIZA TAASISI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI KUPITIA UWAJIBIKAJI KWA JAMII

Mwenza wa Waziri Mkuu, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kub...