Thursday, January 09, 2014

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu Akutana Kwa Mazungumzo na Maofisa, Wakaguzi , Askari na watumishi raia wa Jeshi la Polisi

  1 

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akizungumza na Maofisa, Wakaguzi , Askari na watumishi raia wa Jeshi la Polisi kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam na Vikosi vya Jeshi la Polisi (hawapo pichani) katika kikao chake cha kwanza na watendaji hao baada ya kuchaguliwa kushika wadhifa huo.Kikao hicho kilifanyika jana katika Ukumbi wa Bwalo la Maafisa wa Polisi Ostarbay jijini Dar es Salaam.(Kushoto) ni Naibu IGP Abdulrahman Kaniki na (kulia) ni Kamishna wa fedha na Usafirishaji wa watu na vifaa Clodwing Mtweve.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akizungumza na Maofisa, Wakaguzi , Askari na watumishi raia wa Jeshi la Polisi kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam na Vikosi vya Jeshi la Polisi (hawapo pichani) katika kikao chake cha kwanza na watendaji hao baada ya kuchaguliwa kushika wadhifa huo.Kikao hicho kilifanyika jana katika Ukumbi wa Bwalo la Maafisa wa Polisi Ostarbay jijini Dar es Salaam.(Kushoto) ni Naibu IGP Abdulrahman Kaniki, Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Paul Chagonja na Kamishna wa Kanda Maalumu Suleman Kova (kulia) ni Kamishna wa fedha na Usafirishaji wa watu na vifaa Clodwing Mtweve, DCI Issaya Mngulu na Kamishna wa Polisi Jamii Mussa Alli Mussa.Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi

No comments: