Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Asha Rose Migiro (kushoto) akipokea maua kutoka kwa Afisa Tawala wa Tume Bi. Suzan MagotiMh. Migiro akisalimiana na Mwandishi Mkuu wa Sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bi. Caritas MushiWaziri wa Katiba na Sheria Mhe. Asha Rose Migiro akizungumza wakati wa kikao chake na uongozi wa TumeKikao cha pamoja baina ya Mhe Waziri wa Katiba na Sheria na Uongozi wa TumeMwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanazania Mh. Jaji Aloysius Mujulizi akimpokea WazIri wa Katiba na Sheria Mh. Asha Rose Migiro alipotembelea ofisi za TumeMwenyekiti wa Tume Mhe. Jaji Aloysius Mujulizi akizungumza wakati Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Asha Rose alipoitembelea TumeWashiriki wa KikaoSehemu ya Watumishi na ugeni wa Mhe. Waziri wa Katiba na Sheria wakiwa katika kikao cha pamojaKatibu Mtendaji wa Tume Bi. Winfrida Korosso akiwasilisha taarifa fupi ya Tume kwa Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Asha Rose Migiro
No comments:
Post a Comment