Friday, January 10, 2014

Basi La Mtei lachomwa Moto Mkoani Singida Baada ya kugonga Pikipiki (Bodaboda) na Kuua Watu Watatu Hapohapo.


Hii ni habari mbaya kwa Taifa lenye sifa ya Amani Tanzania watu wake wamegeuka wanyama na kuchukua maamuzi mikononi. Jana asubuhi basi la kampuni ya Mtei toka Arusha limechomwa moto maeneo ya Njia panda mnadani Singida baada ya basi hilo kugonga pikipiki yani bodaboda na kuua watu watatu Hapohapo.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...