Friday, January 10, 2014

Basi La Mtei lachomwa Moto Mkoani Singida Baada ya kugonga Pikipiki (Bodaboda) na Kuua Watu Watatu Hapohapo.


Hii ni habari mbaya kwa Taifa lenye sifa ya Amani Tanzania watu wake wamegeuka wanyama na kuchukua maamuzi mikononi. Jana asubuhi basi la kampuni ya Mtei toka Arusha limechomwa moto maeneo ya Njia panda mnadani Singida baada ya basi hilo kugonga pikipiki yani bodaboda na kuua watu watatu Hapohapo.

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...