Mgombea Ubunge Jimbo la Moshi mjini kwa tiketi ya CCM, Justine Salakana akihutubia mkutano wa uzinduzi wa kampeni uliofanyika juzi viwanja vya Manyema. (picha na Dionis Nyato).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MTUHUMIWA WA “KUFUTA MADENI” YA MIKOPO AKIRI KOSA, AHUKUMIWA KIGOMA
KIGOMA, Septemba 4, 2026 — Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kigoma imemhukumu Nicholaus Komba Mahitana maarufu kama Abdallah Mahimbo baad...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Nadhani mtakumbuka kibwagizo maarufu katika TV ambacho kinaimbwa perupe pepero perupe pepero hawa ni vijana wa Sisi Tambala waliokuwapo kati...
-
Mdau Julius Samwel hivi karibuni alikuwa huko Mwanza na hizi ndizo alizofanikiwa kutumegea, wadau hebu someni hicho kibao mniambie kuna nini...
1 comment:
TUAMBIE ROMBO ULIFANYA NINI 95 ILI TUKUPE HII NGOME YA CHADEMA. KWELI UNA KAZI MFUPA ULIOMSHINDA FISI MMBWA ATAWEZA? KAMUULIZE DADA YAKO MINDE ATAKUADISIA KAMA VP KAMSAIDIE KAKA YAKO MRAMBA HUKO KWENU ROMBO. MOSHI TOWN KUNA WENYEWE MIMI NAWAMBIA CCM NYIE SIMNALIBANIA JIMBO LA MOSHI MJINI KIMAENDELEO SASA KURA ZETU HAMZIPATI. FANYENI KWANZA MAENDELEO NDIO TUWAPE KURA HABARI ZA KUTUAMBIA NITA NITA HATUTAKI KAWAAMBIENI HAO MLIOZOEA KUWADANGANYA HUKU MOSHI WOTE WASOMI HAWADANGANYIKIIII
Post a Comment