Mgombea Ubunge Jimbo la Moshi mjini kwa tiketi ya CCM, Justine Salakana akihutubia mkutano wa uzinduzi wa kampeni uliofanyika juzi viwanja vya Manyema. (picha na Dionis Nyato).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI
Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
1 comment:
TUAMBIE ROMBO ULIFANYA NINI 95 ILI TUKUPE HII NGOME YA CHADEMA. KWELI UNA KAZI MFUPA ULIOMSHINDA FISI MMBWA ATAWEZA? KAMUULIZE DADA YAKO MINDE ATAKUADISIA KAMA VP KAMSAIDIE KAKA YAKO MRAMBA HUKO KWENU ROMBO. MOSHI TOWN KUNA WENYEWE MIMI NAWAMBIA CCM NYIE SIMNALIBANIA JIMBO LA MOSHI MJINI KIMAENDELEO SASA KURA ZETU HAMZIPATI. FANYENI KWANZA MAENDELEO NDIO TUWAPE KURA HABARI ZA KUTUAMBIA NITA NITA HATUTAKI KAWAAMBIENI HAO MLIOZOEA KUWADANGANYA HUKU MOSHI WOTE WASOMI HAWADANGANYIKIIII
Post a Comment