Monday, August 30, 2010

Kampeni za mzee Ndessa


Umati mkubwa wa wafuasi wa Chadema na Wananchi wa Jimbo la Moshi mjini waliofurika viwanja vya Manyema katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni wa mgombea Ubunge wa chama hicho,Philemon Ndesamburo

Mgombea Ubunge Jimbo la Moshi mjini kwa tiketi ya CHADEMA, Philemon Ndesamburo akihutubia wananchi wa Jimbo hilo waliojitokeza wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho juzi katika viwanja vya Manyema.

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...