Sunday, August 29, 2010

Oliver Mtukudzi ndani ya bongo



Mkongwe wa muziki kutoka Zimbabwe, Oliver Mtukudzi maarufu ‘Tuku’ akifanya onyesho la muziki usiku wa kuamkia jana jijini Dar es Salaam. Onyesho hilo lililoanza Ijumaa usiku na kumalizika jana liliandaliwa na wananchi wa Zimbabwe wanaoishi hapa nchi na kudhaminiwa na makapuni mbalimbali ikiwemo Mwananchi Communications Ltd. Kushoto ni mpiga tumba, Namatayi Mabariki Chipanza. Picha na Salhim Shao

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...