Mkongwe wa muziki kutoka Zimbabwe, Oliver Mtukudzi maarufu ‘Tuku’ akifanya onyesho la muziki usiku wa kuamkia jana jijini Dar es Salaam. Onyesho hilo lililoanza Ijumaa usiku na kumalizika jana liliandaliwa na wananchi wa Zimbabwe wanaoishi hapa nchi na kudhaminiwa na makapuni mbalimbali ikiwemo Mwananchi Communications Ltd. Kushoto ni mpiga tumba, Namatayi Mabariki Chipanza. Picha na Salhim Shao
Sunday, August 29, 2010
Oliver Mtukudzi ndani ya bongo
Mkongwe wa muziki kutoka Zimbabwe, Oliver Mtukudzi maarufu ‘Tuku’ akifanya onyesho la muziki usiku wa kuamkia jana jijini Dar es Salaam. Onyesho hilo lililoanza Ijumaa usiku na kumalizika jana liliandaliwa na wananchi wa Zimbabwe wanaoishi hapa nchi na kudhaminiwa na makapuni mbalimbali ikiwemo Mwananchi Communications Ltd. Kushoto ni mpiga tumba, Namatayi Mabariki Chipanza. Picha na Salhim Shao
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI
Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
No comments:
Post a Comment