Mkongwe wa muziki kutoka Zimbabwe, Oliver Mtukudzi maarufu ‘Tuku’ akifanya onyesho la muziki usiku wa kuamkia jana jijini Dar es Salaam. Onyesho hilo lililoanza Ijumaa usiku na kumalizika jana liliandaliwa na wananchi wa Zimbabwe wanaoishi hapa nchi na kudhaminiwa na makapuni mbalimbali ikiwemo Mwananchi Communications Ltd. Kushoto ni mpiga tumba, Namatayi Mabariki Chipanza. Picha na Salhim Shao
Sunday, August 29, 2010
Oliver Mtukudzi ndani ya bongo
Mkongwe wa muziki kutoka Zimbabwe, Oliver Mtukudzi maarufu ‘Tuku’ akifanya onyesho la muziki usiku wa kuamkia jana jijini Dar es Salaam. Onyesho hilo lililoanza Ijumaa usiku na kumalizika jana liliandaliwa na wananchi wa Zimbabwe wanaoishi hapa nchi na kudhaminiwa na makapuni mbalimbali ikiwemo Mwananchi Communications Ltd. Kushoto ni mpiga tumba, Namatayi Mabariki Chipanza. Picha na Salhim Shao
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment