Monday, August 09, 2010

REDD’S FASHION PARTY 2010 & fiesta jipanguse 2010 ilivyofana


Lil Kim akiwahamasisha wakazi wa jiji la Dar waliofurika usiku huu ndani ya viwanja vya Lidaz Club katika tamasha la Fiesta Jipanguse, tamasha ambalo mdhamini wake mkuu ni kampuni ya bia ya Serengeti a.k.a Mfalme wa raha kamili .


Alaji alaji alaji mpaka chini….pichani ni Warembo wakiwa wamepandwa na mzuka na wimbo huo ambao umeshika chati sana kwa sasa hapa nchini.Picha zote kwa hisani ya Mo Blog.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...