Monday, August 09, 2010

REDD’S FASHION PARTY 2010 & fiesta jipanguse 2010 ilivyofana


Lil Kim akiwahamasisha wakazi wa jiji la Dar waliofurika usiku huu ndani ya viwanja vya Lidaz Club katika tamasha la Fiesta Jipanguse, tamasha ambalo mdhamini wake mkuu ni kampuni ya bia ya Serengeti a.k.a Mfalme wa raha kamili .


Alaji alaji alaji mpaka chini….pichani ni Warembo wakiwa wamepandwa na mzuka na wimbo huo ambao umeshika chati sana kwa sasa hapa nchini.Picha zote kwa hisani ya Mo Blog.

No comments:

CGP. KATUNGU AWATAKA MAAFISA USTAWI KUELIMISHA WAFUNGWA HAKI NA WAJIBU WAO

  Na. Ssgt Mawazo Mtondo – Dodoma. Mkuu wa Jeshi la Magereza, CGP Jeremiah Yoram Katungu, amewataka Maafisa Ustawi wa Jamii wa Jeshi la Ma...