Sunday, August 08, 2010

Jk :Sihitaji kura za wafanyakazi



Mwanachama wa Chama cha Chadema akiwa amevalia fulana ya CCM yenye picha ya Rais Kikwete jana katika mkutano wa chama hicho jijini dar es salaam na kuandikwa maandishi yasemayo 'Kikwete: Sihitaji kura za wafanyakazi'. Picha ya Said Powa

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...