Sunday, August 08, 2010

Jk :Sihitaji kura za wafanyakazi



Mwanachama wa Chama cha Chadema akiwa amevalia fulana ya CCM yenye picha ya Rais Kikwete jana katika mkutano wa chama hicho jijini dar es salaam na kuandikwa maandishi yasemayo 'Kikwete: Sihitaji kura za wafanyakazi'. Picha ya Said Powa

No comments:

Ujumbe wa DRC watoa msaada kituo cha wakimbizi NMC - Kigoma

  Waziri wa Nchi, anayeshughulikia  Masuala ya Ustawi wa Jamii, Hatua za Kibinadamu na Mshikamano kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (D...