Sunday, August 08, 2010

Jk :Sihitaji kura za wafanyakazi



Mwanachama wa Chama cha Chadema akiwa amevalia fulana ya CCM yenye picha ya Rais Kikwete jana katika mkutano wa chama hicho jijini dar es salaam na kuandikwa maandishi yasemayo 'Kikwete: Sihitaji kura za wafanyakazi'. Picha ya Said Powa

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...