Thursday, August 05, 2010

Mjomba akikamua Nanenane Moro


Msanii wa muziki Mrisho Mpoto akitumbuiza baadhi ya wananchi waliokuwa wakitembelea banda la Wizara ya Fedha juzi katika maonyesho ya Nanenane kanda ya kati yanayoendelea mkoani Dodoma.
Picha na Masoud Masasi.

2 comments:

emu-three said...

Mjamaa anayaua mashairi, namuaminia

emu-three said...

Mjamaa anayaua mashairi, namuaminia

Dkt. Salem Al-Junaibi na Ujumbe wake Awasili nchini kwa Ziara ya Kibiashara

Mwenyekiti wa Chama cha Biashara na Viwanda cha Oman Dkt. Salem Al-Junaibi (Mb) na ujumbe wa Wafanyabiashara wa Oman, amewasili nchini leo, ...