Thursday, August 05, 2010

Mjomba akikamua Nanenane Moro


Msanii wa muziki Mrisho Mpoto akitumbuiza baadhi ya wananchi waliokuwa wakitembelea banda la Wizara ya Fedha juzi katika maonyesho ya Nanenane kanda ya kati yanayoendelea mkoani Dodoma.
Picha na Masoud Masasi.

2 comments:

emu-three said...

Mjamaa anayaua mashairi, namuaminia

emu-three said...

Mjamaa anayaua mashairi, namuaminia

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...