Thursday, August 05, 2010

Mjomba akikamua Nanenane Moro


Msanii wa muziki Mrisho Mpoto akitumbuiza baadhi ya wananchi waliokuwa wakitembelea banda la Wizara ya Fedha juzi katika maonyesho ya Nanenane kanda ya kati yanayoendelea mkoani Dodoma.
Picha na Masoud Masasi.

2 comments:

emu-three said...

Mjamaa anayaua mashairi, namuaminia

emu-three said...

Mjamaa anayaua mashairi, namuaminia

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...