Sunday, August 29, 2010

Madee afunika Mbeya......

Mwanamuziki nguli wa kikundi cha muziki wa kizazi kipya cha Tip Top Connection chenye maskani yake mitaa ya Manzese jijini Dar es Salaam, Madee akiimba wakati wa uzinduzi wa huduma ya Tigo Pesa katika uwanja wa Sokoine mjini Mbeya mwishoni mwa wiki. Picha kwa hisani ya Tigo.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...