Sunday, August 29, 2010

Madee afunika Mbeya......

Mwanamuziki nguli wa kikundi cha muziki wa kizazi kipya cha Tip Top Connection chenye maskani yake mitaa ya Manzese jijini Dar es Salaam, Madee akiimba wakati wa uzinduzi wa huduma ya Tigo Pesa katika uwanja wa Sokoine mjini Mbeya mwishoni mwa wiki. Picha kwa hisani ya Tigo.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...