Thursday, August 12, 2010

Mungai, Mwakalebela waburuzwa kortini



TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Iringa imewafikisha mahakamani aliyekuwa Mbunge wa Mufindi Kaskazini, Joseph Mungai na Katibu Mtendaji wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Frederick Mwakalebela kwa tuhuma za kutoa rushwa wakati wa mchakato wa kura za maoni ndani ya CCM.

Katika mchakato huo, Mungai alikuwa anawania ubunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini na Mwakalebela alikuwa akiwania ubunge katika Jimbo la Iringa Mjini.

Mungai ambaye aliangushwa katika kura hizo za maoni baada ya kupata kura 3,430 akiongozwa na Mahmud Mgimwa, jana alifikishwa katika Mahakama ya Mkoa wa Iringa kujibu mashtaka 15.

Akisoma mashtaka hayo mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa wa Iringa, Mary Senape, Mwendesha Mashtaka wa Takukuru, Prisca Mpela alisema Mungai na wenzake wawili wanatuhumiwa kufanya kosa hilo Agosti 8 mwaka huu, katika Kata ya Ihalimba, wilayani Mufindi.

Aliwataja washakiwa wengine kuwa ni Katibu wake Moses Masas (38) na Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Mufindi, Fides Cholela (39).

Mpela alisema washtakiwa hao kwa pamoja, walitoa rushwa kinyume na Sheria ya Kupambana na Rushwa namba 11 ya mwaka 2007 kifungu cha 15(1)(b) kinachokwenda sambamba na Sheria ya Gharama za Uchaguzi namba 6 ya mwaka mwaka 2010 kifungu namba 21 (1) (a) na kifungu cha 24(8).

Aliendelea kudai mahakamani hapo kuwa kwa pamoja watuhumiwa hao waliwapa rushwa wanachama 15 wa CCM, kila mmoja kwa wakati wake ili kuwashawishi.

Ilidaiwa mahakamani hapo kuwa wanachama hao ambao ni viongozi wa ngazi mbalimbali katika Kata Ihalimba na vitongoji vyake, walipewa fedha taslimu kwa viwango tofauti kuanzia Sh 2,000 na 20,000.

Kwa mujibu wa mwendesha mashtaka huyo, kwa pamoja washtakiwa hao walifanya kikao katika Kata ya Ihalimba, kilichojumuisha viongozi wa CCM kutoka matawi matano ya kata hiyo.

Aliendelea kuieleza Mahakama kuwa baada ya kikao hicho kumalizika, walipatiwa fedha hizo kwa lengo la kuwashawishi kumchagua Mungai katika kura za maoni zilizofanyika hivi karibuni.

Makosa hayo 15 yanayomkabili Mungai na wenzake, yanajumuisha kitendo cha kumpa rushwa kila mmoja kati ya wajumbe 15 wanaotajwa kwenye mashtaka hayo.

Mpela aliwataja wajumbe hao kuwa ni Obadia Mtokoma, mwenyekiti wa Kijiji cha Vikula ambaye aliyepewa Sh 10,000, Katibu wa Fedha na Uchumi wa Kijiji cha Vikula, Konjeta Kiyeyeu alipatiwa Sh 10, 000, Katibu Kata wa CCM wa Ihalimba, Aldo Lugus alipewa Sh 10,000 na Katibu wa Fedha wa kata hiyo aliyepatiwa kiasi cha Sh 10,000.
Habari imendikwa na Tumaini Msowoya na Hakimu Mwafongo wa MWANANCHI kutoka Iringa.

2 comments:

Anonymous said...

[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]what is better levitra or cialis [/url]

[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]side efect o levitra [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]viva levitra free download [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]online levitra student loan consolidation [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]order cheap levitra soft 100mg [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]levitra uk kamagra [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]order cheap levitra soft 100mg [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]levitra ukforum [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]lyricavs levitra [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]levitra and advil [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]levitra cheap online rx [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]what is levitra triangle chicago [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]online generic levitra overnight [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]levitra and hemmhroids [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]levitra and performance enhancement [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]levitra paperweight closeout [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]levitra dick [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]can i make generic levitra [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]levitra being prescribedfor inmate [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]lyricavs levitra [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]levitra reaction [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]levitra reaction [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]levitra uk kamagra [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]buy lady uk levitra [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]levitra paperweight closeout [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]propafenone and levitra cialis [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]online generic levitra overnight [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]generic levitra canadian pharmacy no prescription [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]levitra boy [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]can levitra help with zoloft efects [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]buying levitra on weekends [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]levitra treatment impotence [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]online generic levitra overnight [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]buy lady uk levitra [/url]
[url=http://www.atv.com/forum/showthread.php?p=26410#post26410]generic levitra buy levitra online levitra [/url]

Anonymous said...

You ought tо be a pаrt of a cоntеst for оne of thе highеst quality sites on the internet.

I mοst cеrtаinly wіll highly recommend thiѕ wеbsіte!


mу wеb blog ... Payday loans online
Also see my web page - Online Payday oan