Tuesday, August 31, 2010

Mkapa ayawakia mataifa ya Magharibi


Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa (kushoto) akimsikiliza Katibu Mtendaji wa African Forum Dk John Tesha mara baada ya kumaliza mkutano wa marais wastaafu na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam jana uliokuwa unaelezea mikakati ya maboresho ya ardhi barani Afrika.

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa (kushoto) akitoa ufafaunuzi jana jijini Dar es salaam kwa wanahabari mara baada ya kumalizika kwa Mkutano wa Marais wastaafu wa Afrika uliokuwa unajadili juu ya maboresho katika sekta ya ardhi barani Afrika. Kulia ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi. Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO-Dar es Salaam.

2 comments:

Unknown said...

Mambo?
keep it up.
Seleman haroub(ex milambian)

Anonymous said...

vegmyixqw http://crush-the-castle.com Crush The Castle