Wednesday, August 18, 2010

Dk Shein azugumza na wabunge


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya CCM Dk. Ali Mohamed Shein, akisalimiana na wananachama wa Chama cha Mapinduzi na Wananchi wa Zanzibar, baada ya kuwahutubia kwenye mkutano wa Hadhara uliofanyika jana katika ukumbi wa Salama Hoteli ya Bwawani Zanzibar.

Makamu wa Rais Dk Shein, akiwahutubia Wagombea wa Viti vya Ubunge, Uwakilishi na Udiwani pamoja na Wananchi mbalimbali katika ukumbi wa salama Hoteli ya Bwawani Zanzibar jana.


Wagombea wa Viti vya Ubunge, Uwakilishi, Udiwani pamoja na Wananchi mbalimbali wa Zanzibar, kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Wakimsikiliza Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein, alipokuwa akiwahutubia kwenye mkutano wa Hadhara katika ukumbi wa Salama Hoteli ya Bwawani Zanzibar jana. Picha na Amour Nassor VPO.

No comments: