Monday, August 23, 2010

MAmbo ya utawala bora hayo


Waziri Sofia Simba akibadilishana mawazo na IGP Said Mwema mara baada ya kufunguliwa kwa mkutano wa nane wa wakuu wa kupambana na rushwa katika nchi zilizopo kusini mwa janga la Sahara leo uliofanyika katika hoteli ya Ngurdoto Jijini Arusha(Picha na Moses Mashalla)

No comments:

Ujumbe wa DRC watoa msaada kituo cha wakimbizi NMC - Kigoma

  Waziri wa Nchi, anayeshughulikia  Masuala ya Ustawi wa Jamii, Hatua za Kibinadamu na Mshikamano kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (D...