Monday, August 23, 2010

MAmbo ya utawala bora hayo


Waziri Sofia Simba akibadilishana mawazo na IGP Said Mwema mara baada ya kufunguliwa kwa mkutano wa nane wa wakuu wa kupambana na rushwa katika nchi zilizopo kusini mwa janga la Sahara leo uliofanyika katika hoteli ya Ngurdoto Jijini Arusha(Picha na Moses Mashalla)

No comments:

Msajili wa Hazina, Fitch Ratings watathmini mageuzi ya taasisi za umma

Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na  Fitch Ratings Ltd  amb...