Wednesday, August 18, 2010

IGP na majadiliano ya amani na usalama


Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini(IGP) Saidi Mwema (kushoto) akijadiliana na Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni ya Ulinzi ya Ultimate, Zainul Dossa wakati wa semina kuhusu amani, usalama na utulivu iliyofanyika katika ukumbi wa maafisa wa polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam . IGP alikutana na wakurugenzi wa makampuni yote ya ulinzi nchini kijadiliana kuhusu amani, usalama na utulivu haswa wakati huu tunapoelekea uchaguzi mkuu oktoba, 2010. Picha na Hassan Mndeme- Jeshi la Polisi.

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...