Wednesday, August 18, 2010

IGP na majadiliano ya amani na usalama


Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini(IGP) Saidi Mwema (kushoto) akijadiliana na Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni ya Ulinzi ya Ultimate, Zainul Dossa wakati wa semina kuhusu amani, usalama na utulivu iliyofanyika katika ukumbi wa maafisa wa polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam . IGP alikutana na wakurugenzi wa makampuni yote ya ulinzi nchini kijadiliana kuhusu amani, usalama na utulivu haswa wakati huu tunapoelekea uchaguzi mkuu oktoba, 2010. Picha na Hassan Mndeme- Jeshi la Polisi.

No comments:

Ujumbe wa DRC watoa msaada kituo cha wakimbizi NMC - Kigoma

  Waziri wa Nchi, anayeshughulikia  Masuala ya Ustawi wa Jamii, Hatua za Kibinadamu na Mshikamano kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (D...