Wednesday, August 18, 2010

IGP na majadiliano ya amani na usalama


Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini(IGP) Saidi Mwema (kushoto) akijadiliana na Mkurugenzi Mkazi wa Kampuni ya Ulinzi ya Ultimate, Zainul Dossa wakati wa semina kuhusu amani, usalama na utulivu iliyofanyika katika ukumbi wa maafisa wa polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam . IGP alikutana na wakurugenzi wa makampuni yote ya ulinzi nchini kijadiliana kuhusu amani, usalama na utulivu haswa wakati huu tunapoelekea uchaguzi mkuu oktoba, 2010. Picha na Hassan Mndeme- Jeshi la Polisi.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AONGOZA MAADHIMISHO YA MIAKA 30 YA TRA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Maadhimisho ya miaka 30 ya kuanzishwa kwa Mamlaka ya M...