Thursday, August 12, 2010

Ramadhan kareem


Mwezi waonekana hivyo leo Waislamu Tanzania wanaungana na wenzao duniani kote kuanza Mwezi mtukufu wa Ramadhan ambapo Waislam watakuwa wakishiriki Funga ya Mwezi Mtukufu. Blogu hii inawatakia Mwezi Mtukufu na Mungu awajalie nyote mtakao funga Funga njema. Ramadhan Karim

No comments:

WABUNGE WAJENGEWA UWEZO WA HAKI MADINI NA HAKI ARDHI

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imepatiwa mafunzo maalum kuhusu Sheria, Kanuni na Miongozo ya Sekta ya Madini, kwa lengo la...