Thursday, August 12, 2010

Ramadhan kareem


Mwezi waonekana hivyo leo Waislamu Tanzania wanaungana na wenzao duniani kote kuanza Mwezi mtukufu wa Ramadhan ambapo Waislam watakuwa wakishiriki Funga ya Mwezi Mtukufu. Blogu hii inawatakia Mwezi Mtukufu na Mungu awajalie nyote mtakao funga Funga njema. Ramadhan Karim

No comments:

Ujumbe wa DRC watoa msaada kituo cha wakimbizi NMC - Kigoma

  Waziri wa Nchi, anayeshughulikia  Masuala ya Ustawi wa Jamii, Hatua za Kibinadamu na Mshikamano kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (D...