Thursday, August 12, 2010

Ramadhan kareem


Mwezi waonekana hivyo leo Waislamu Tanzania wanaungana na wenzao duniani kote kuanza Mwezi mtukufu wa Ramadhan ambapo Waislam watakuwa wakishiriki Funga ya Mwezi Mtukufu. Blogu hii inawatakia Mwezi Mtukufu na Mungu awajalie nyote mtakao funga Funga njema. Ramadhan Karim

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...