Thursday, August 12, 2010

Ramadhan kareem


Mwezi waonekana hivyo leo Waislamu Tanzania wanaungana na wenzao duniani kote kuanza Mwezi mtukufu wa Ramadhan ambapo Waislam watakuwa wakishiriki Funga ya Mwezi Mtukufu. Blogu hii inawatakia Mwezi Mtukufu na Mungu awajalie nyote mtakao funga Funga njema. Ramadhan Karim

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...