Mgombea Ubunge Jimbo la Moshi mjini kwa tiketi ya CCM, Justine Salakana akihutubia mkutano wa uzinduzi wa kampeni uliofanyika juzi viwanja vya Manyema. (picha na Dionis Nyato).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AENDELEZA DIPLOMASIA YA KIMATAIFA DUBAI, ALAKIWA NA MAZUNGUMZO NA MTAWALA WA DUBAI KANDO YA WGS 2026
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , ameendelea kuimarisha diplomasia ya kimataifa kwa kufanya m...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
1 comment:
TUAMBIE ROMBO ULIFANYA NINI 95 ILI TUKUPE HII NGOME YA CHADEMA. KWELI UNA KAZI MFUPA ULIOMSHINDA FISI MMBWA ATAWEZA? KAMUULIZE DADA YAKO MINDE ATAKUADISIA KAMA VP KAMSAIDIE KAKA YAKO MRAMBA HUKO KWENU ROMBO. MOSHI TOWN KUNA WENYEWE MIMI NAWAMBIA CCM NYIE SIMNALIBANIA JIMBO LA MOSHI MJINI KIMAENDELEO SASA KURA ZETU HAMZIPATI. FANYENI KWANZA MAENDELEO NDIO TUWAPE KURA HABARI ZA KUTUAMBIA NITA NITA HATUTAKI KAWAAMBIENI HAO MLIOZOEA KUWADANGANYA HUKU MOSHI WOTE WASOMI HAWADANGANYIKIIII
Post a Comment