Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Pemba kwa Ziara ya Kijamii ya siku mbili, tarehe 13 Machi, 2026. Pamoja na mambo mengine, Mheshimiwa Rais atashiriki Iftar ya pamoja na Viongozi na Wananchi wa Mikoa miwili ya Pemba.
Friday, March 13, 2026
RAIS SAMIA AWASILI PEMBA KWÀ ZIARA YA KIJAMII YA SIKU MBILI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Pemba kwa Ziara ya Kijamii ya siku mbili, tarehe 13 Machi, 2026. Pamoja na mambo mengine, Mheshimiwa Rais atashiriki Iftar ya pamoja na Viongozi na Wananchi wa Mikoa miwili ya Pemba.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS NDAITWAH AONDOKA BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU TATU NCHINI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...



.jpeg)





No comments:
Post a Comment