Friday, May 01, 2009

Yanga na Simba wakabidhiwa magari yao



TIMU za Simba na Yanga leo wamekabidhiwa magari yao, kikubwa ni kwamba wamepata mawili Coaster an Hiace!!! watu walizomea walijua wangepewa AScania Marcopolo. lakini angalau wanaweza kumove mjini!!! Big up TBL!!! Vijembe vya Madega na dalali sisemi kikubwa usafiri.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...