Friday, May 01, 2009

Yanga na Simba wakabidhiwa magari yao



TIMU za Simba na Yanga leo wamekabidhiwa magari yao, kikubwa ni kwamba wamepata mawili Coaster an Hiace!!! watu walizomea walijua wangepewa AScania Marcopolo. lakini angalau wanaweza kumove mjini!!! Big up TBL!!! Vijembe vya Madega na dalali sisemi kikubwa usafiri.

No comments:

WAZIRI MKUU: SERIKALI YAENDELEA KUHAKIKISHA MAFUTA HAYAADIMIKI NCHINI

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali kuhakikisha upatikanaji wa mafuta nchini unaendelea ...