Friday, May 01, 2009

Yanga na Simba wakabidhiwa magari yao



TIMU za Simba na Yanga leo wamekabidhiwa magari yao, kikubwa ni kwamba wamepata mawili Coaster an Hiace!!! watu walizomea walijua wangepewa AScania Marcopolo. lakini angalau wanaweza kumove mjini!!! Big up TBL!!! Vijembe vya Madega na dalali sisemi kikubwa usafiri.

No comments:

ABSA WAJIONEA MAAJABU YA MIRADI YA NHC DAR ES SALAAM

Mkurugenzi Mtendaji wa ABSA Tanzania, Bw. Obedi Laiser akikaribishwa na  Bw. Deogratious Batakanwa ,  Meneja wa Mauzo na Masoko wa NHC kweny...