Friday, May 01, 2009

Yanga na Simba wakabidhiwa magari yao



TIMU za Simba na Yanga leo wamekabidhiwa magari yao, kikubwa ni kwamba wamepata mawili Coaster an Hiace!!! watu walizomea walijua wangepewa AScania Marcopolo. lakini angalau wanaweza kumove mjini!!! Big up TBL!!! Vijembe vya Madega na dalali sisemi kikubwa usafiri.

No comments:

Rais Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Taifa Jijini Dodoma

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao mu...