Tuesday, May 12, 2009

Usafiri wa Kilwa



Hebu cheki ndugu zetu hawa wanavyotaabika kwa usafiri, hapa wanaonekana wakiwa katika jahazi wakitoka sehemu moja ya bahari ya hindi eneo la Kilwa kwenda nyingine kwa hakika usafiri huu ni mgumu ni hatari na ndiyo maana wiki mbili zilizopita tulishuhudia ndugu zetu wengine wakizama ndani ya bahari ya Hindi na kupoteza maisha, kilio kimekuwa cha muda mrefu na hakipati majibu, hali hii yaendelea kwa wakazi wa visiwani kama vile Mafia, Kilwa na visiwa vingine, ni hatari lakini ni salama maisha yanaendelea watu wanapoteza maisha, lakini hatua kuchukuliwa inakuwa ngumu, Mungu ibariki nchi yetu. Picha ya Said Powa.

No comments:

BUNGE LAMTHIBITISHA NDEJEMBI KWA ASILIMIA 100 UMAKAMU WA RAIS.

Waziri Mkuu asema anatosha, kiti kimempata mtu sahihi wa kumsaidia Mheshimiwa Rais. BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo (Ijumaa, Ag...