Tuesday, May 05, 2009

Haibiwi mtu hapa lazima tupate samaki


Baadhi ya wananchi waliofika kwenye mnada wa samaki jijini Dar es Salaam jana,wakiangalia bidhaa hiyo kabla ya mnada kuanza , ambapo ulishindwa kuendelea kutakana na kutofautiana kwa bei, Serikali ilitaka sh 7,000 na wanachi walitaka iwe Sh 1,500 kwa kilo moja. Picha na Michael Jamson

No comments:

SAMIA AZINDUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WFNS, ATEMBELEA MAONESHO YA SEKTA YA AFYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitembelea mabanda ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Afya kabla ya k...