Tuesday, May 05, 2009

Haibiwi mtu hapa lazima tupate samaki


Baadhi ya wananchi waliofika kwenye mnada wa samaki jijini Dar es Salaam jana,wakiangalia bidhaa hiyo kabla ya mnada kuanza , ambapo ulishindwa kuendelea kutakana na kutofautiana kwa bei, Serikali ilitaka sh 7,000 na wanachi walitaka iwe Sh 1,500 kwa kilo moja. Picha na Michael Jamson

No comments:

KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...