Wednesday, May 13, 2009

Usafiri wetu

Hebu cheki hapa usafiri wa jijini kwetu ulivyo kero, gari imechoka ile mbaya, barabara nazo hoi ili mradi kila kitu hapa jijini kwetu ni balaa, sukuma sukuma kila sehemu. Foleni kila kukicha hebu mtanzania mwenzetu tuambie.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...