Wednesday, May 13, 2009

Usafiri wetu

Hebu cheki hapa usafiri wa jijini kwetu ulivyo kero, gari imechoka ile mbaya, barabara nazo hoi ili mradi kila kitu hapa jijini kwetu ni balaa, sukuma sukuma kila sehemu. Foleni kila kukicha hebu mtanzania mwenzetu tuambie.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...