Wednesday, May 13, 2009

Usafiri wetu

Hebu cheki hapa usafiri wa jijini kwetu ulivyo kero, gari imechoka ile mbaya, barabara nazo hoi ili mradi kila kitu hapa jijini kwetu ni balaa, sukuma sukuma kila sehemu. Foleni kila kukicha hebu mtanzania mwenzetu tuambie.

No comments:

NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO

  Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...