
Wakazi wa eneo la Ununio wilayani Kinondoni wakiandamana kupinga kuuzwa kwa eneo la makaburi kwa mwekezaji ambaye anadaiwa kutaka kuanza shughuli za ujenzi, hata hivyo uongozi wa eneo hilo uliwapoza wakazi hao ukiwaeleza kuwa watarejeshewa eneo lao. Picha na Tumaini Msowoya.
No comments:
Post a Comment