Tuesday, May 19, 2009

Waandamana kupinga eneo la makaburi kuuzwa


Wakazi wa eneo la Ununio wilayani Kinondoni wakiandamana kupinga kuuzwa kwa eneo la makaburi kwa mwekezaji ambaye anadaiwa kutaka kuanza shughuli za ujenzi, hata hivyo uongozi wa eneo hilo uliwapoza wakazi hao ukiwaeleza kuwa watarejeshewa eneo lao. Picha na Tumaini Msowoya.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...