Tuesday, May 19, 2009

Waandamana kupinga eneo la makaburi kuuzwa


Wakazi wa eneo la Ununio wilayani Kinondoni wakiandamana kupinga kuuzwa kwa eneo la makaburi kwa mwekezaji ambaye anadaiwa kutaka kuanza shughuli za ujenzi, hata hivyo uongozi wa eneo hilo uliwapoza wakazi hao ukiwaeleza kuwa watarejeshewa eneo lao. Picha na Tumaini Msowoya.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...