Sunday, May 31, 2009

Diamond Musica si mchezo!!!


Hawa ni Diamond Musica wakishambulia jukwaa.

Hawa ni Diamond Musica wakishambulia jukwaa.


Kundi la akina dada linaloongozwa na mwadada WAHU kutoka Kenya alipagawisha wageni kwa mapigo yake na umahiri wa kuimba katika shindano lililofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jana. Picha na Fidelis Felix

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...