Sunday, May 31, 2009

Diamond Musica si mchezo!!!


Hawa ni Diamond Musica wakishambulia jukwaa.

Hawa ni Diamond Musica wakishambulia jukwaa.


Kundi la akina dada linaloongozwa na mwadada WAHU kutoka Kenya alipagawisha wageni kwa mapigo yake na umahiri wa kuimba katika shindano lililofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jana. Picha na Fidelis Felix

No comments:

Makamu wa Rais Aongoza Salamu za Rambirambi kwa Kifo cha Jenista Mhagama, Ataja Taifa Kupata Pengo Kubwa

  #RIPJenistaMhagama #Tanzania #Ruvuma #Uongozi Dodoma – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nch...