Sunday, May 31, 2009

Diamond Musica si mchezo!!!


Hawa ni Diamond Musica wakishambulia jukwaa.

Hawa ni Diamond Musica wakishambulia jukwaa.


Kundi la akina dada linaloongozwa na mwadada WAHU kutoka Kenya alipagawisha wageni kwa mapigo yake na umahiri wa kuimba katika shindano lililofanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jana. Picha na Fidelis Felix

No comments:

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI  Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...