Wednesday, May 13, 2009

Jeshi lapewa vifaa





Mkuu wa kamandi ya Afrika wa Jeshi la Marekani, Jenerali William Ward akisalimiana na kiongozi wa kikosi cha Tanzania kinachotarajiwa kwenda nchini Sudan kulinda amani, Luteni Kanali Ally Katimbe wakati wa makabidhiano ya vifaa vya kijeshi yaliyofanyika jana jijini Dar es Salaam. Wapiganaji 800 kutoka Tanzania, wanatarajiwa kujiunga na vikosi vya Umoja wa Mataifa na Afrika katika kazi hiyo. Chini wapiganaji wetu wakiwa tayari kufanya mambo huko Darfur!! PICHA YA MPOKI BUKUKU.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...