Sunday, May 31, 2009

Dr Salim kumbukumbu ya Tajudeen




DK Salim Ahmed Salim ambaye ni Mwenyekiti wa Mfuko wa Mwalimu Nyerere (MNF) akiwaongoza wasomi mbalimbali waliojitokeza katika kumbukizi la kumkumbuka aliyekuwa mwanaharakati wa masuala ya kijamiii Dr. Tajudeen Abdul Raheem aliyefariki dunia kwa ajali ya gari. Kumbukizi hilo lilifanyika katika ukumbi wa COUNCIL CHAMBER Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbukizi liliandaliwa na "THE MWALIMU NYERERE FOUNDATION In collaboration with UDASA.

No comments:

SAMIA AZINDUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA WFNS, ATEMBELEA MAONESHO YA SEKTA YA AFYA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitembelea mabanda ya maonesho ya wadau wa Sekta ya Afya kabla ya k...