Sunday, May 31, 2009

Dr Salim kumbukumbu ya Tajudeen




DK Salim Ahmed Salim ambaye ni Mwenyekiti wa Mfuko wa Mwalimu Nyerere (MNF) akiwaongoza wasomi mbalimbali waliojitokeza katika kumbukizi la kumkumbuka aliyekuwa mwanaharakati wa masuala ya kijamiii Dr. Tajudeen Abdul Raheem aliyefariki dunia kwa ajali ya gari. Kumbukizi hilo lilifanyika katika ukumbi wa COUNCIL CHAMBER Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbukizi liliandaliwa na "THE MWALIMU NYERERE FOUNDATION In collaboration with UDASA.

No comments:

KIKWETE ATEULIWA KUWA MWAKILISHI WA NGAZI YA JUU WA MWENYEKITI WA KAMISHENI YA AU

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC), Mhe. Mahmoud Ali Youssouf, amemteua Rais Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Ki...