Friday, May 15, 2009

Vodacom miss IFM 2009


Baadhi ya washiriki wa shindano la kumtafuta Vodacom Miss IFM 2009 wakipozi kwa picha wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dares Salaam jana kuhusu shindano hilo linalotarajiwa kufanyika leokatika ukumbi wa New Msasani Club jijini humo. Kutoka kushoto ni Diana Mhenga, Beatrice Lukindo na Francisca Mansilo.

No comments:

RAIS SAMIA AONGOZA MJADALA WA MAJI NA MAENDELEO AFRIKA, AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA ETHIOPIA ADDIS ABABA

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendeleza diplomasia ya kimkakati kwa kushiriki Mkutano wa...