Friday, May 15, 2009

Vodacom miss IFM 2009


Baadhi ya washiriki wa shindano la kumtafuta Vodacom Miss IFM 2009 wakipozi kwa picha wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dares Salaam jana kuhusu shindano hilo linalotarajiwa kufanyika leokatika ukumbi wa New Msasani Club jijini humo. Kutoka kushoto ni Diana Mhenga, Beatrice Lukindo na Francisca Mansilo.

No comments:

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI

KAMISHNA BADRU ATAKA UBUNIFU ILI KUENDELEZA MAPANGO YA AMBONI  Na Hamis Dambaya, Amboni Tanga. Kamishna wa Uhifadhi Mamlaka ya Hifadhi ya Ng...