Friday, May 15, 2009

Vodacom miss IFM 2009


Baadhi ya washiriki wa shindano la kumtafuta Vodacom Miss IFM 2009 wakipozi kwa picha wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dares Salaam jana kuhusu shindano hilo linalotarajiwa kufanyika leokatika ukumbi wa New Msasani Club jijini humo. Kutoka kushoto ni Diana Mhenga, Beatrice Lukindo na Francisca Mansilo.

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...