Friday, May 15, 2009

Vodacom miss IFM 2009


Baadhi ya washiriki wa shindano la kumtafuta Vodacom Miss IFM 2009 wakipozi kwa picha wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dares Salaam jana kuhusu shindano hilo linalotarajiwa kufanyika leokatika ukumbi wa New Msasani Club jijini humo. Kutoka kushoto ni Diana Mhenga, Beatrice Lukindo na Francisca Mansilo.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...