Sunday, May 24, 2009

Tatizo la miundombinu yetu




Tanzania yetu tuna mambo yetu tuna kila jambo letu kila kitu ni chetu na hivyo kila jambo na kila shida na kila raha ni zetu, pichani waweza kuona namna mbavyo barabara zetu bomu, ingawa tuko mbele kimiundombinu kuliko DRC lakini pia tuko nyuma kuliko mataifa mengine ya hapa Afrika, tunaziona jitihasa zinazoendelea ktukomboa lakini hazitoshi, Waziri wa zamani wa miundombinu bwana John Pombe magufuli alituahidi kuwa ifikapo mwaka 2010 mtu aweza kodi kutoka Mwanza hadi Mtwara, 2010 ndiyo hiyoo mambo baaado kabisa

No comments: