Tanzania yetu tuna mambo yetu tuna kila jambo letu kila kitu ni chetu na hivyo kila jambo na kila shida na kila raha ni zetu, pichani waweza kuona namna mbavyo barabara zetu bomu, ingawa tuko mbele kimiundombinu kuliko DRC lakini pia tuko nyuma kuliko mataifa mengine ya hapa Afrika, tunaziona jitihasa zinazoendelea ktukomboa lakini hazitoshi, Waziri wa zamani wa miundombinu bwana John Pombe magufuli alituahidi kuwa ifikapo mwaka 2010 mtu aweza kodi kutoka Mwanza hadi Mtwara, 2010 ndiyo hiyoo mambo baaado kabisa
Sunday, May 24, 2009
Tatizo la miundombinu yetu
Tanzania yetu tuna mambo yetu tuna kila jambo letu kila kitu ni chetu na hivyo kila jambo na kila shida na kila raha ni zetu, pichani waweza kuona namna mbavyo barabara zetu bomu, ingawa tuko mbele kimiundombinu kuliko DRC lakini pia tuko nyuma kuliko mataifa mengine ya hapa Afrika, tunaziona jitihasa zinazoendelea ktukomboa lakini hazitoshi, Waziri wa zamani wa miundombinu bwana John Pombe magufuli alituahidi kuwa ifikapo mwaka 2010 mtu aweza kodi kutoka Mwanza hadi Mtwara, 2010 ndiyo hiyoo mambo baaado kabisa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA AMUAPISHA DKT. JOHN ANTHONY JINGU KUWA MTENDAJI MKUU WA MAHAKAMA YA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Dkt. John Anthony Jingu kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment