Tanzania yetu tuna mambo yetu tuna kila jambo letu kila kitu ni chetu na hivyo kila jambo na kila shida na kila raha ni zetu, pichani waweza kuona namna mbavyo barabara zetu bomu, ingawa tuko mbele kimiundombinu kuliko DRC lakini pia tuko nyuma kuliko mataifa mengine ya hapa Afrika, tunaziona jitihasa zinazoendelea ktukomboa lakini hazitoshi, Waziri wa zamani wa miundombinu bwana John Pombe magufuli alituahidi kuwa ifikapo mwaka 2010 mtu aweza kodi kutoka Mwanza hadi Mtwara, 2010 ndiyo hiyoo mambo baaado kabisa
Sunday, May 24, 2009
Tatizo la miundombinu yetu
Tanzania yetu tuna mambo yetu tuna kila jambo letu kila kitu ni chetu na hivyo kila jambo na kila shida na kila raha ni zetu, pichani waweza kuona namna mbavyo barabara zetu bomu, ingawa tuko mbele kimiundombinu kuliko DRC lakini pia tuko nyuma kuliko mataifa mengine ya hapa Afrika, tunaziona jitihasa zinazoendelea ktukomboa lakini hazitoshi, Waziri wa zamani wa miundombinu bwana John Pombe magufuli alituahidi kuwa ifikapo mwaka 2010 mtu aweza kodi kutoka Mwanza hadi Mtwara, 2010 ndiyo hiyoo mambo baaado kabisa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba
Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment