Sunday, May 10, 2009

DRC 2 Tanzania 0


Kipa machachari wa Timu ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ya Kabila (DRC )akishangilia kwa staili yake ya kurukaruka kimatakomatako baada ya timu yake kuifunga stars mabao mawili kwa bila.

No comments:

MBUNGE WA BUNGE LA NORWAY AVUTIWA NA VIVUTIO VYA SERENGETI, AIKARIBISHA DUNIA KUTEMBELEA TANZANIA

Mbunge wa Bunge la Norway, Mhe. Himanshu Gulati , akiongozana na mwenyeji wake, Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo , ametembelea...