Friday, February 20, 2009

Vijana wamewiva si mchezo






















Baadhi ya wanajeshi waliohitimu mafunzo ya awali ya kijeshi katika shule ya mafunzo ya awali ya kijeshi ya Makutupora mkoani Dodoma wakionyesha umahiri wakati wa kufunga mafunzo hayo jana. Jumla ya vijana 1306 wamehitimu mafunzo hayo kati ya 1310.

No comments:

Rais Samia Akipokea Taarifa Muhimu Kuhusu Hifadhi ya Ngorongoro

Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kutathmini Zoezi la Uhamaji wa Hiari wa Wakazi wa Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Katibu Mkuu Mstaafu, Mhandisi...