Thursday, February 12, 2009

Mtaa wa Congo


Jamani mambo yanakuwa juu ya mambo jiji linazidi kufumuka, linapendeza linajaa watu kila kukicha hapa pichani hebu cheki kila mmoja hapa na lake wapo wanaotoka Congo kwenyewe hadi wale wanaotoka huko Nyakitonto, Kanyamahera, Jimbo, Namagondo na kadhalika.

No comments:

RAIS SAMIA AANZA ZIARA YA KIHISTORIA URUSI, KUITANGAZA TANZANIA YA DIRA YA MAENDELEO 2050

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa w...