Thursday, February 12, 2009

Mtaa wa Congo


Jamani mambo yanakuwa juu ya mambo jiji linazidi kufumuka, linapendeza linajaa watu kila kukicha hapa pichani hebu cheki kila mmoja hapa na lake wapo wanaotoka Congo kwenyewe hadi wale wanaotoka huko Nyakitonto, Kanyamahera, Jimbo, Namagondo na kadhalika.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...