Monday, February 02, 2009

GTV yafilisika



GTV imesitisha huduma zake Tanzania na sehemu nyingine duniani kwa kile kilichoelezwa kuwa kukumbwa na mgogoro wa fedha hivyo kampuni hiyo kushindwa kutoa huduma zake.

No comments:

RAIS NDAITWAH AONDOKA BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU TATU NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo...