Monday, February 02, 2009

GTV yafilisika



GTV imesitisha huduma zake Tanzania na sehemu nyingine duniani kwa kile kilichoelezwa kuwa kukumbwa na mgogoro wa fedha hivyo kampuni hiyo kushindwa kutoa huduma zake.

No comments:

Msajili wa Hazina, Fitch Ratings watathmini mageuzi ya taasisi za umma

Na Mwandishi wa OTR Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na  Fitch Ratings Ltd  amb...