Tuesday, February 17, 2009
Joseph Maina Afariki Dunia
Taarifa zilizotufikia punde tu zinaeleza kuwa yule gwiji wa muziki wa dansi na ambaye ni mmoja wa visiki vya bendi ya Msondo Ngoma Jazz Band bwana Joseph Maina amefariki dunia akiwa safarini ndani ya daladala akitokea maeneo ya Mbagala. Kwa sasa maiti ya mwanamuziki huyo tunaelezwa iko ndani ya hospitali ya Temeke imeshushwa na wasamaria wema. Maina kwa wale wasiomjua ni mwanamuziki mkongwe na mtunzi wa nyimbo nyingi lakini kubwa ni ile ya Baba Gift habari zaidi tutakuwa tukiendelea kuwaletea.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Rais Samia Akipokea Taarifa Muhimu Kuhusu Hifadhi ya Ngorongoro
Mwenyekiti wa Tume ya Rais ya Kutathmini Zoezi la Uhamaji wa Hiari wa Wakazi wa Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro, Katibu Mkuu Mstaafu, Mhandisi...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. . Picha na Jube Tranqu...
1 comment:
poleni kwa msiba
Kigali, Rwanda
Post a Comment