Mzee wa Mshitu
Tuesday, February 17, 2009
Mambo ya twanga
Duhhh mambo ya Valentine hayakuwa ya kawaida mwanangu hebu cheki mambo yalikuwa juu ya mambo na hata wewe mwenyewe ungekuwapo hakika ungenikubalia kweli ilikuwa si mchezo Twanga ungeipenda mwenyewe maanake ni kujimwaya mwaya tuuuu, au wasemaje
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment