


Duhhh mambo ya Valentine hayakuwa ya kawaida mwanangu hebu cheki mambo yalikuwa juu ya mambo na hata wewe mwenyewe ungekuwapo hakika ungenikubalia kweli ilikuwa si mchezo Twanga ungeipenda mwenyewe maanake ni kujimwaya mwaya tuuuu, au wasemaje
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
No comments:
Post a Comment