Tuesday, February 24, 2009

Mhindi aliyeua yuko hai


Baada ya kukaa kimya kwa muda baada ya taarifa za utata za kifo cha Komal Katakia, 22, raia wa India ambaye anatuhumiwa kumuua mtu mwingine mwenye asilia ya asia, leo ameibukia mahakamani Kisutu leo yu bukheri wa afya, sasa sijui taarifa za mwanzo zililenga kutupotosha ili wamtoroshe nje ya nchi ili wadai amekufa au sijui ni vipi

Kesi ya Komal na mumewe, Vinosh Praven, ambao wanatuhumiwa kumuua mfanyabiashara, Abdulbasiti Abdallah, 21 wakati huo huo Mamlaka ya Magereza imetoa ufafanuzi kuwa yule mama wa kihindi aliyedaiwa kufariki duniani akiwa gerezani ama kwa kujinyonga au kuuawa kwa mateso Soma Zaidi kuwa bado yuko hai na ni mzima buheri kwa afya. Taarifa hizo zilianza kuzagaa Ijumaa iliyopita na kukolea zaidi Jumamosi namna hii, lakini Msemaji wa Magereza amesema ni uzushi na huyo mama yuho hai.

No comments: