Moja jumlisha moja = 3, nimepatia au ??? hebu cheki vitegemezi vinavyofunzwa shule ya awali halafu ucheki wengine hawa wakubwa wanavyofunzwa madarasani, picha hii imetolewa na mdau, wadau wengine mna maswali. Wengine wanasema shule ni sehemu wanayofeli watu, wengine wanadai shule ni sehemu ambayo bongo za watu zinanolewa, hebu nipe definition yako.
Thursday, November 29, 2007
Shule ni nini????
Moja jumlisha moja = 3, nimepatia au ??? hebu cheki vitegemezi vinavyofunzwa shule ya awali halafu ucheki wengine hawa wakubwa wanavyofunzwa madarasani, picha hii imetolewa na mdau, wadau wengine mna maswali. Wengine wanasema shule ni sehemu wanayofeli watu, wengine wanadai shule ni sehemu ambayo bongo za watu zinanolewa, hebu nipe definition yako.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
2 comments:
Mi ningeanzia hapa: Hivi bila majengo yanayoitwa shule, hatuwezi kuelimika?
相当不错的职位。我只是偶然发现您的博客和想说的话,我很喜欢浏览你的博客帖子。在任何情况下,我会订阅你的饲料,我希望你写的再次光临!.
Post a Comment