Thursday, November 29, 2007

Shule ni nini????





Moja jumlisha moja = 3, nimepatia au ??? hebu cheki vitegemezi vinavyofunzwa shule ya awali halafu ucheki wengine hawa wakubwa wanavyofunzwa madarasani, picha hii imetolewa na mdau, wadau wengine mna maswali. Wengine wanasema shule ni sehemu wanayofeli watu, wengine wanadai shule ni sehemu ambayo bongo za watu zinanolewa, hebu nipe definition yako.

2 comments:

Christian Bwaya said...

Mi ningeanzia hapa: Hivi bila majengo yanayoitwa shule, hatuwezi kuelimika?

Anonymous said...

相当不错的职位。我只是偶然发现您的博客和想说的话,我很喜欢浏览你的博客帖子。在任何情况下,我会订阅你的饲料,我希望你写的再次光临!.