Thursday, November 29, 2007

Mv Kigamboni


Huu mzaha mzaha matokeo yake bila shaka siku moja tutaja yaona na kisha eti watakuja hawa viranja wetu wajidai wanatoa machozi ya simba kujifanya wanaona huruma saana jamani , Kivuko hiki cha Kigamboni na kile kingine kidogo havifai kabisa kwa matumizi ya binaadamu wa kawaida, hebu cheki lilivyosheheni jana, mdau Salhim Shao kanirushia hii.

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...