Huu mzaha mzaha matokeo yake bila shaka siku moja tutaja yaona na kisha eti watakuja hawa viranja wetu wajidai wanatoa machozi ya simba kujifanya wanaona huruma saana jamani , Kivuko hiki cha Kigamboni na kile kingine kidogo havifai kabisa kwa matumizi ya binaadamu wa kawaida, hebu cheki lilivyosheheni jana, mdau Salhim Shao kanirushia hii.
Thursday, November 29, 2007
Mv Kigamboni
Huu mzaha mzaha matokeo yake bila shaka siku moja tutaja yaona na kisha eti watakuja hawa viranja wetu wajidai wanatoa machozi ya simba kujifanya wanaona huruma saana jamani , Kivuko hiki cha Kigamboni na kile kingine kidogo havifai kabisa kwa matumizi ya binaadamu wa kawaida, hebu cheki lilivyosheheni jana, mdau Salhim Shao kanirushia hii.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI
Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment